Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumapili, 18 Januari 2015

CAMEROON; NI SAWA MAGAZETI KUKERA

David Cameron na Rais Obama mjini Washington juma hili
Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron, amepinga matamshi ya Papa ya juma lilopita aliposema kuwa siyo sawa kufanya mzaha juu ya imani ya watu wengine.
Akijibu kuhusu mashambulio yaliyofanywa na wapiganaji Waislamu dhidi ya gazeti la Ufaransa la Charlie Hebdo, Papa alisema iwapo mtu atamtusi mama ake, ataraji ngumi.
Bwana Cameron hata hivyo alisema katika nchi huru kuna haki ya kukera kuhusu dini ya mtu mwengine.
Aliliambia shirika la habari la CBS la Marekani, kwamba vyombo vya habari vinafaa kuweza kuchapisha vitu ambavyo vinawakera baadhi ya watu - ikiwa siyo kinyume na sheria.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni