Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatatu, 9 Februari 2015

KANSIIME KUUJAZA ULIMWENGU.

Mchekeshaji nyota wa nchini Uganda, Anne Kansii
Star huyu katika mahojiano aliyoyafanya hivi karibuni amesema kuwa, mapenzi yake haya kwa watoto pia yamekuwa ni sababu kubwa kwa yeye kuigiza kama mtoto katika baadhi ya vichekesho ambavyo amekuwa akivifanya.
Kansiime ambaye ana umri wa miaka 27 sasa, ameweka wazi pia kuwa anapenda kuwa na watoto wengi bila kutaja idadi kamili huku akiwa na mpango wa kuanza kukuza familia yake hii kabla ya kutimiza miaka 30.
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni