Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatatu, 9 Februari 2015

DOGO JANJA AVUNJA UKIMYA.


DOGO JANJA.
Msanii Dogo Janja ambae kwa sasa amerudi chini ya uongozi wake wa zamani amefunguka ya moyoni na kusema kuwa katika kipindi kirefu watu wamekuwa wakimzungumzia vibaya na kumsema kuwa amepotea katika muziki wa Bongo. Dogo Janja amefunguka hayo leo baada ya jana kuweza kufanya show kali katika viwanja vya Mwananyamala na kupokewa vizuri na mashabiki wake ambao walionyesha kumkubali Janjaro.
Bofya kusoma zaidi
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni