Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Alhamisi, 15 Januari 2015

RONALDO DE LIMA KUREJEA DIMBANI


Ronaldo de Lima anavyoonekana sasa.
Mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa ya brazil Ronaldo Luís Nazário de Lima anatarajia kurejea tena dimbani.
De lima ameahidi kupunguza mwili wake kwa mazoezi kwa lengo la kurejea uwanjani kukipiga na timu Fort Lauderdale inayocheza ligi daraja la pili nchi Marekani.
Akizungumza na waandishi wa habari Ronaldo mwenye miaka 38 amesema "kucheza soka lazima uwe na mwili mzuri wa nitajaribu ni changamoto nina uhakika nitaisaidia ligi na timu."
Ronaldo alitwaa ubigwa wa kombe la dunia mara mbili mwaka 1994 na 2002 akiwa na kikosi cha Brazil.
Amewahi kuvitumikia vilabu vya Barcelona, PSV Eindhoven, Inter Milan and Real Madrid kwa mafanikio makubwa sana.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni