Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Ijumaa, 10 Oktoba 2014

JUMUIYA YA KIMATAIFA IMEPOKEA VYEMA USHINDI WA TUZO YA NOBEL

Pongezi kwa washindi wa Tuzo ya Nobeli

Jumuiya ya kimataifa imepokea vyema ushindi wa Tuzo ya Nobeli kwa msichana Malala Yousafzai wa  Pakistani na Kailish Satyarthn wa Iindia. Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amenukuliwa akisema " Hii ni siku nzuri kwa watoto duniani. Watoto ambao hivi leo hawana haki ya utoto wao, elimu, kutokiukwa utu wao, wamepata sauti zao za haki ya elimu na kupinga utumikishwaji wa ajira usiyo wa haki kupitia wawakilishi hao wawili walioshinda tuzo. Nao marais wa Halmashauri ya Umoja wa Ulaya Jose Manuel Barroso na wa Baraza la umoja huo Herman Van Rompuy walitoa taarifa ya pamoja wakisema " Hatuwezi kuwasahau mamilioni ya watoto duniani kote ambao wananyimwa haki yao ya kupata elimu". Na kuongeza kusema huo ni ushindwa kwa wote.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni