Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

MC RAY

 Mashabiki wakifurahia jambo kutoka kwa ray katika show ya Evans Bukuku Comedy Club ndani ya Escape One, Mikocheni ,Dar Es Salaam
 Ray kama kawaida akiwakonga mashabiki nyoyo ndani ya Escape One

 Ray akifanya jambo ambalo liliwafanya mashabiki wake kufa kwa vicheko
 Moja ya tukio hili ni kuigiza sauti ya mtangazaji maarufu Reinfred Masako iliyoowacha watu hoi

 Mashabiki wakimsikliza kwa ,makini huku wengine wakivunja mbavu
                             Pozi hili alikuwa akiigiza sauti ya Mfanyabiashara maarufu Mengi na mashabiki    wakivunjika mbavu chini
                                         Harusi ya Mc Ray




































































Hakuna maoni:

Chapisha Maoni