Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatatu, 13 Oktoba 2014

MWANAFUNZI WA CHUO CHA UHASIBU WA MWAKA WA KWANZA AJICHOMA KISU.

Mwanafunzi aliefahamika kwa jina moja la Moza alie mwaka
wa kwanza katika chuo cha Uhasibu TIA Mkoani Singida
amenusurika kufa baada ya jaribio la kutaka kujiua kwa
kujichoma na kisu kushindikana,tukio hilo limetokea jana
baada mwanafunzi huyo kumfumania mpenzi wake wa kiume
akiwa na mwanamke mwingine.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni