Mwanafunzi aliefahamika kwa jina moja la Moza alie mwaka
wa kwanza katika chuo cha Uhasibu TIA Mkoani Singida
amenusurika kufa baada ya jaribio la kutaka kujiua kwa
kujichoma na kisu kushindikana,tukio hilo limetokea jana
baada mwanafunzi huyo kumfumania mpenzi wake wa kiume
akiwa na mwanamke mwingine.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni