Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Alhamisi, 9 Oktoba 2014

KIAZI CHAOTA KWENYE MWILI WA MWANAMKE


Kiazi kilipatikana kikimea ndani ya kizazi cha mwili wa mwanamke mmoja baada ya kujaribu kukitumia kama kifaa cha kuzuia mimba.

Msichana huyo mwenye umri wa miaka 22 kutoka nchini Colombia ambaye jina lake halikutajwa alijaribu kutumia kiazi hicho ili kuzuia mimba na alipomtembelea daktari baada ya kulalamika kuhusu maumivu ya tumbo ,iligunduliwa kuwa kiazi hicho kilikuwa kimeota mizizi ambayo ilianza kumea ndani ya kizazi chake.

Kulingana na Gazeti la Nation nchini kenya msichana huyo amedai kuwa mamaake alimshauri kwamba iwapo angependelea kuzuia mimba basi alifaa kuweka kiazi ndani ya kizazi chake.

Licha ya hatari aliyokumbana nayo mwanamke huyo hakuathirika huku kiazi hicho kikitolewa bila kufanyiwa upasuaji.
Epuka njia zisizo rasmi za kuzuia mimba.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni