Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 1 Aprili 2015

BINTI AIBA KITENGE CHA MGONJWA,ACHEZEA KICHAPO KUTOKA KWA WAGONJWA.


Binti aliyejulikana kwa jina la Mariam Moshi (23), mkazi wa Mwananyamala Ujiji, aliponea chupuchupu kuuawa na wagonjwa wenye hasira kali waliolazwa katika hospitali ya Mwananyamala baada ya kudaiwa kuiba nguo za wagonjwa. Mariam anadaiwa kuiba Kitenge kipya na taulo. Mwenyewe alipoulizwa alisema Kitenge tu ndio amekiiba hospitalini hapo ila taulo alilokuwa amejifunga ndani ya dera alilovaa, alisema aliliiba katika gesti aliyokuwa amelala siku hiyo.. Aliomba msamaha kwa kitendo alichokifanya, akisema kinatokana na maisha magumu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni