Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Alhamisi, 2 Aprili 2015

WABUNGE WA UPINZANI WAJA NA MBINU MPYA BUNGENI.

 
Unakumbuka zamani Wabunge wa upinzani walikuwa wakiona hawatendewi haki na Spika wanasusa na kuondoka Bungeni, kwahiyo mambo mengi yanajadiliwa bila wao kuwepo. Ila kwa sasa wanambinu tofauti ambayo wakiona hawatendewi haki wanasimama juu na kuanza kugonga gonga meza na kupiga kelele hadi Bunge linaharishwa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni