Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Alhamisi, 2 Aprili 2015

MSALA ULIOMPATA MCHUNGAJI GWAJIMA,MUME WA FLORA MBASHA AVUNJA UKIMYA.


Msala uliompata Mchungaji Gwajima wa kumtolea maneno yenye kuudhi Askofu wa Kanisa Katoliki Mwadhama Polycap Kadinali Pendo na kisha kuhojiwa polisi na kupata mshtuko, kuzimia hadi kulazwa, Mume wa Flora Mbasha, anasema hayo ni malipo ya Mungu kwake kutokana na kilio chake baada ya Mchungaji huyo kusambaratisha ndoa yake .
“Ile hali ya Gwajima ni malipo. Mimi nilishasema jamani, mtu akikutendea ubaya malipo ni hapahapa duniani, hakuna kwingine. Mimi ndoa yangu haipo, mke wangu anajua yeye anavyoishi. Kwa hivyo mimi nimekuwa nikiishi kwa manung’uniko kila siku, unadhani nini kitatokea kwake?” amefunguka Emmanuel Mbasha

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni