Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Ijumaa, 3 Aprili 2015

YEME;JUMBA LA RAIS LAACHILIWA NA WAASI.

Jumba la rais wa Yemen 
Ripoti kutoka Yemen zinasema kuwa waasi wa Houthi wameondoka nyumba ya rais waliokuwa wameiteka katika mji muhimu wa kusini wa bandari ya Aden baada ya mshambulizi ya ndege za taifa la saudia kulenga eneo hilo.
Wapiganaji walio watiifu kwa rais Abd Rabbuh Mansur Hadi wanasema kuwa wamepokea zana za kijeshi zilizoangushwa kutoka ndege za kijeshi za saudia wakati ambapo mapigano yanaendelea katika mji huo.
China imewaondoa zaidi ya raia wa kigeni 200 kutoka bandari hiyo.
Makumi ya raia yameripotiwa kuuawa siku chache zilizopita katika mapigano ya Aden.
CHANZO  BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni