Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 1 Aprili 2015

YOUSSOU NDOUR NDIYE MWANAMUZIKI TAJIRI

Youssou Ndour ndiye mwanamuziki tajiri barani Afrika
Usanii wa muziki ni miongoni mwa kazi zinazolipa vizuri duniani.
Hatahivyo si kila mtu anayefanikiwa katika sekta ya muziki.
Kulingana na mtandao wa capital Fm nchini Kenya,kwa wewe kufanikiwa ni sharti uipende sekta hii pamoja na uwajue wateja wako.
Hivyo ndivyo wasanii wengi wa muziki wameweza kujitengezea jina duniani.
Na je, unawajua wanamuziki tajiri barani Afrika?Orodha ya wanamuziki 10 walio matajiri barani afrika kulingana na Answers Afrika itakushangaza.
Hii Hapa.
01.Youssou N'Dour - Senegal.
02.P-Square- Nigeria
03.D'banj - Nigerian
04.Koffi Olomide - DRC
05.Salif Keita - Mali
06.Fally Ipupa DRC
07.Face Idibia - Nigeria
08.Hugh Masekela - South Africa
09.Banky W - Nigeria
10.Jose Chameleon - Uganda

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni