Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 30 Desemba 2014

FA KUMUADHIBU CISSE-




Mshambuliaji wa Newcastle United Papiss Dembaba Cisse.
Chama cha Soka England(FA) kimemfungulia mashitaka mshambuliaji wa Newcastle United Papiss Cisse.
Cisse amefunguliwa mashitaka kwa kosa la kumpiga kiwiko Beki Seamus Coleman wa klabu ya Everton.
Refa wa Mechi hiyo Craig Pawson hakuona tukio la Cisse kumpiga na kiwiko Coleman katika mchezo wa ligi kati ya Newcastle na Everton.
Meneja wa Everton, Roberto Martinez, akiongea baada yamchezo alisema: “Cisse alikua na bahati kutokutolewa mchezoni, kama hatutaki kuona haya Uwanjani, yasiruhusiwe. Alipaswa kupewa Kadi Nyekundu.”
Ikiwa atapatikana na hatia Cisse atakosa michezo mitatu ya

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni