Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 30 Desemba 2014

KOBE BRYANT AANZA VIBAYA NBA


Kobe Brayant
chezaji nguli wa mchezo wa kikapu Nchini Marekani Kobe Bryant amerejea vibaya katika kikosi chake cha LA Lakers kwa kukubali kichapo cha vikapu 116 -107 – toka kwa Phoenix Suns.
Kobe alikua anareje uwanja ni baada kukosa michezo mitatu iliyopita, alifunga pointi 10 ribaundi 8 na akisaidia kutoa pasi 7 za mwisho za vikapu.
Goran Dragic aliifungia Phoenix Suns pointi 24 na Eric Bledsoe akiongeza pointi 22
Matokeo mengine ya NBA yalikua Cleveland Cavaliers 80 - 103 Detroit Pistons ,San Antonio Spurs 110 - 106 Houston Rockets ,Dallas Mavericks 112 - 107 Oklahoma City Thunder, Denver Nuggets 102 - 116 Toronto Raptors ,Portland Trail Blazers 101 - 79 New York Knicks.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni