Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 30 Desemba 2014

TUZO ZA CAF KUTOLEWA JANUARI


Pierre-Emerick Aubameyang
Shirikisho la soka barani Afrika CAF litatoa tuzo kwa wanamichezo bora Januari 8 huko Lagos Nigeria.
Kiungo wa Gaboni Pierre-Emerick Aubameyang, golikipa Vincent Enyeama wa Naijeria na kiungo Yaya Toure ndio wanawania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2014.
Wanaowania Tuzo za uchezaji bora kwa wachezaji wa ndani ya Afrika
Akram Djahnit (Algeria) El Hedi Belamieri( Algeria)Firmin Mubele Ndombe (DR Congo)
Kwa upande wa wanawake wanaowania tuzo hizo ni
Annette Ngo Ndom (Cameroon) Asisat Oshoala (Nigeria) Desire Oparanozie (Nigeria)
Wanaowania kwa upande wa chipukizi
Asisat Oshoala (Nigeria) Fabrice Ondoa (Cameroon)Uchechi Sunday (Nigeria)
Wanaowania tuzo ya kipaji kinachochipukia ni
Clinton N’jie (Cameroon) Vincent Aboubakar (Cameroon) Yacine Brahimi (Algeria)
makocha wanaowania tuzo hizo
Florent Ibenge (DR Congo) Kheireddine Madoui (ES Setif) Vahid Halilhodžić (kocha wa zamani wa Algeria)
Timu zinazowania tuzo ya timu bora ya mwaka ni
Algeria, Libya, Nigeria
Timu bora ya wanawake ya Mwaka ni
Cameroon, Nigeria, Nigeria U-20
Klabu bora ya Mwaka
Al Ahly (Egypt) AS Vita (DR Congo) ES Setif (Algeria)
Huku Rais wa Tp Mazembe Moise Katumbi Chapwe akitarajiwa kupewa tuzo ya kiongozi bora wa michezo wa mwaka.
CHANZO BBC.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni