Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache
Jumapili, 28 Desemba 2014
BASI LA ZUBERI LAGONGANA USO KWA USO NA COSTA
Basi la Zuberi no 3,limegongana uso kwa uso na costa hakuna alietoka kwenye costa na imekwisha nyang'anyang'a.hali hii imepelekea waliokuwa kwenye gari nyingine kushuka na kuokoa majeruhi.nimbele kidogo ya Singida mjini.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni