Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache
Jumatatu, 29 Desemba 2014
BALOON YATEKETEA KWA MOTO MAKUMBUSHO
Gari aina ya Baloon limewaka moto na kuteketea kabisa maeneo ya makumbusho hakuna aliyeumia wala kupoteza maisha tukio hilo limetokea sasa hivi
taarifa kamili itakujia baade
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni