Uingereza akiwa ni mtoto wa pili katika familia yao.
Ndoa yake ya kwanza na Rula Lenska ilivunjika
ambapo alizaa naye binti yao aitwaye Lara Deacon, ndoa ya pili alioana na
mwanamama Natalie Bloch mwaka 1998 mpaka sasa wapo kwenye ndoa hiyo.
mwanamama Natalie Bloch mwaka 1998 mpaka sasa wapo kwenye ndoa hiyo.
Aliigiza filamu ya Yesu ambayo pia
ilimfanya AOKOKE mara baada ya kuitazama akiwa na
miaka 30. Alipita kwenye mchujo mkali wa waigizaji zaidi ya 1000 ambao walifanyiwa mahojiano huku 260 wakijaribishwa kuigiza
(screen test) kuona kwamba wanafaa.
miaka 30. Alipita kwenye mchujo mkali wa waigizaji zaidi ya 1000 ambao walifanyiwa mahojiano huku 260 wakijaribishwa kuigiza
(screen test) kuona kwamba wanafaa.
Brian ni mwingereza pekee kati ya
waigizaji Waisrael walioingia kwenye usaili huo akiwa chini ya kampuni iitwayo
New shakespears ambako alikuwa akifanya sanaa za majukwaani
na uigizaji.
na uigizaji.
Kabla ya kuchaguliwa mtihani wa
kwanza ulikuwa kutoka kwa wakala wake aliyemvunja
moyo kwakumweleza hadhani kama yeye (Brian)atafaa kwenye kumwigiza Yesu.
Baada ya hapo akawa na wakati mgumu kutoka kwa watu ambao kila mmoja alikuwa anajaribu kumweleza jinsi anavyotakiwa
kuigiza, sauti yake na mambo mengine, ingawa yeye alisema nitatumia sauti yangu na maelezo
kutoka kwa muongozaji.
moyo kwakumweleza hadhani kama yeye (Brian)atafaa kwenye kumwigiza Yesu.
Baada ya hapo akawa na wakati mgumu kutoka kwa watu ambao kila mmoja alikuwa anajaribu kumweleza jinsi anavyotakiwa
kuigiza, sauti yake na mambo mengine, ingawa yeye alisema nitatumia sauti yangu na maelezo
kutoka kwa muongozaji.
Wiki 3 kabla hawajaanza kurekodi
filamu hiyo alisoma kitabu cha Luka mtakatifu zaidi ya mara 20 kwakuwa filamu
hiyo imenukuliwa kutoka kitabu hicho ambapo Brian amesema
kusoma kwake kulimpa nguvu sana na moyo wa kuigiza filamu hiyo na kuweza kumfahamu
vyema Yesu kuwa ni mtu wa aina gani.
kusoma kwake kulimpa nguvu sana na moyo wa kuigiza filamu hiyo na kuweza kumfahamu
vyema Yesu kuwa ni mtu wa aina gani.
Katika miezi 7 waliyochukua kuigiza
filamu hiyo Brian anasema, walikuwa wanaigiza kwa masaa mengi kuanzia saa 12 za
alfajiri mpaka mwisho wa siku kiasi kwamba wakati mwingine
aliwaambia wenzake kwamba wamsaidie kwani amechoka sana hajui kwamba angeweza kuigiza kwa siku hiyo lakini mwenyewe alikuwa anashangazwa na nguvu za ajabu alizokuwa akizipata na kuendelea kuigiza.
aliwaambia wenzake kwamba wamsaidie kwani amechoka sana hajui kwamba angeweza kuigiza kwa siku hiyo lakini mwenyewe alikuwa anashangazwa na nguvu za ajabu alizokuwa akizipata na kuendelea kuigiza.
Wakati huo wote alikuwa mkristo jina
wa kanisa katoliki,alikuwa anauwalakini kuhusu mafundisho na huduma ya Yesu kwa
ujumla,
siku moja wakati anaigiza alikuwa anawaombea watu mara mwanamke mmoja alishika mkono wake kumbe alikuwa na
mapepo alimuombea na mapepo yalimtoka mwanamama huyo.
siku moja wakati anaigiza alikuwa anawaombea watu mara mwanamke mmoja alishika mkono wake kumbe alikuwa na
mapepo alimuombea na mapepo yalimtoka mwanamama huyo.
Siku nyingine waliokuwa wakiigiza
kama wanafunzi wa Yesu wapatao 12 walikuwa
wamepanga kugoma kutokana na malipo waliyokuwa wakipata,cha ajabu Brian anasema director alikuja kumuomba yeye(Brian)
azungumze nao warejee kazini,akashangaa akamwambia mimi sio Yesu ni Brian Deacon.
wamepanga kugoma kutokana na malipo waliyokuwa wakipata,cha ajabu Brian anasema director alikuja kumuomba yeye(Brian)
azungumze nao warejee kazini,akashangaa akamwambia mimi sio Yesu ni Brian Deacon.
Akaamua kuzungumza nao,baada ya
masaa 36 walikubali kurudi kuendelea na kazi .
Kiujumla Brian anasema haikuwa kazi rahisi kurekodi filamu hiyo na pia si ujuzi wa kufurahia, walikutana na vipingamizi vingi vya kishetani kwani shetani hakupenda filamu hiyo irekodiwe.
Kiujumla Brian anasema haikuwa kazi rahisi kurekodi filamu hiyo na pia si ujuzi wa kufurahia, walikutana na vipingamizi vingi vya kishetani kwani shetani hakupenda filamu hiyo irekodiwe.
Baada ya kumaliza kurekodi kwa
takribani miezi 18, filamu ilianza kuonyeshwa kwa baadhi ya watu huko Marekani,
na ndipo hata yeye kwa mara ya kwanza akaona jinsi filamu hiyo
ilivyonanguvu, ukweli na kugusa mioyo ya watu na akaamua kuokoka.
ilivyonanguvu, ukweli na kugusa mioyo ya watu na akaamua kuokoka.
Kwa miaka zaidi ya 30 sasa tangu
kutoka filamu ya Yesu tayari imetazamwa na watu zaidi ya bilioni 3 katika nchi
233, zaidi ya watu milioni 117 waliamua kubadilisha maisha yao
na kumpokea Yesu.
na kumpokea Yesu.
Brian ni mwigizaji tu na sio Yesu
kama watu wengine wanavyojua hivyo. Mara nyingine watu
waliosema wamemwona Yesu katika maono huwa wanaona sura ya Brian. THANK BE GOD
waliosema wamemwona Yesu katika maono huwa wanaona sura ya Brian. THANK BE GOD
UONGOZI WA rayshughuli.blogspot.com UNAPENDA KUWATAKIA SKUKUU NJEMA.NA MUNGU AWE PAMOJA NANYI.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni