Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatatu, 29 Desemba 2014

HUKUMU YA ALEXEI NAVALNY KUTOLEWA LEO


Alexei Navalny.
Wakuu wa mahakama Nchini Urusi wanatoa hukumu katika kesi dhidi ya kiongozi mmoja wa upinzani, Alexei Navalny.
Kesi hiyo iliyokuwa isikizwe na kuamuliwa tarehe 15 Januari, sasa itasikizwa leo. Wakili wa Navalny anasema kuwa hatua hiyo imepangwa ili kuwahadaa tu maelfu ya wafuasi wake, waliokuwa wakiandaa mkutano mkubwa jijini Moscow tarehe 15.
Hata hivyo saa chache baada ya tangazo hilo maelfu ya watu waliingia ktika mtandao wa Facebook na kupanga kuwa na mkutano mkubwa siku ya Jumanne.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni