Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 24 Desemba 2014

WAZIRI MKUU MPYA AIDHINISHWA SOMALI


Waziri mkuu mpya wa Somali Omar Sharmarke
Bunge la Somalia limeidhinisha uteuzi wa waziri mkuu mpya akiwa ni afisa wa tatu kuhudumu katika wadhfa huo katika kipindi cha miaka miwili.
Wengi wa wabunge walimpigia kura Omar Ali Sharmarke.
Mapema mwezi huu walipitisha mswada wa kutokuwa na imani dhidi ya aliyekuwa waziri mkuu Abdiweli Sheikh Ahmed,baada ya majaribio matatu ya kutaka kumuondoa madarakani kuambuliwa patupu.
Waandishi wanasema kuwa serikali ililemazwa na vita villivyokuwa kati ya wafuasi wa Abdiweli dhidi ya wale wanaoumuunga mkono rais Hassan Sheikh Mohamud.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni