![](https://scontent-b-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/l/t1.0-9/10384917_1112903725390711_4224209134907959014_n.jpg?oh=67d550d02d8c5411b4d2d190fe90a94d&oe=5535073B)
Tanzania ndiyo nchi pekee ambayo bado inayowauzia wananchi wake mafuta kwa bei ya juu licha ya kuwa bei ya mafuta katika soko la dunia kushuka kwa zaidi ya asilimia 50.
Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi ameyasema hayo wakati akiongea na Wananchi wa Halmashauri ya mamlaka ya mji mdogo wa Kyela na kusema kuwa kumekuwepo na bei kubwa ya mafuta nchini ikilinganishwa na nchi nyingine.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni