Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 31 Desemba 2014

MFALME ABDULLAH WA SAUDI ALAZWA


Mfalme Abdullah wa saudia alazwa hospitalini
Mfalme Abdullah wa Saud Arabia amelazwa hospitalini ili kufanyiwa ukaguzi.
Taarifa kutoka kwa makao ya mfalme huyo haikutoa maelezo yoyote kuhusu hali yake.
Soko la hisa la Saudia lilianguka baada ya habari hizo kutangazwa katikan runinga ya taifa.
Mfalme Abdullah aliye na umri wa miaka 90 ametawala ufalme wa taifa hilo lenye utajiri mkubwa wa mafuta tangu mwaka 2005.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni