Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 24 Desemba 2014

MPITA NJIA APIGWA RISASI NA MAJAMBAZI DAR.


Tafrani ilizuka Dar es Salaam jana maeneo ya Morocco mida ya saa kumi jioni, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam ambako majambazi walipora Sh2 milioni kwa Nuru Patrick aliyeshuka kwenye daladala na mkoba wenye hela, huku mpita njia aliye fahamika kwa jina moja Gloria akikatishwa uhai kwa risasi zilizokuwa zikipigwa hovyo na majambazi hao wakati wanakimbia eneo la tukio

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni