Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 30 Desemba 2014

KOMBE LA MAPINDUZI KUANZA KUANZA JANUARI MOSI


Timu ya Kmkm ya Zanzibar moja kati ya washiriki
ichuano ya kombe la mapinduzi kuanza kutimua vumbi Zanzibari kuanzia januari mosi mpaka Januari 13 mwakani.
Hii itakua ni mara ya tisa kufanyika tangu ianzishwe kuenzi Mapindunzi ya Zanzibar yaliyofanyika Januari 12, 1964.
Timu zinazotarajiwa kushiriki michuano hiyo ni pamoja na Yanga Sc, Azam Fc,Simba Sc na Mtibwa Sugar.
Wenyeji watawakilishwa na mabingwa wa Zanzibar KMKM, Police FC, JKU, Mtende Rangers na Shaba FC.
KCC FC ya Uganda watashiriki pia michuano hiyo wakiwa ni mabigwa watetezi wa kombe hilo.
Timu waalikwa toka nchini kenya zilizoalikwa kushiriki michuano hii zimejitoa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni