![](https://scontent-a-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/s480x480/10897773_1112930352054715_1716959572468291439_n.jpg?oh=4fd4c1e77ec047de8fd390d8086de5e7&oe=55474508)
Mwigizaji na mwanamuziki wa Bendi ya FM Academia, Patcho Mwamba ameibuka na kukanusha vikali taarifa zilizozagaa katika mitandao ya kijamii kuwa amefumaniwa akiwa na mke wa mtu na kupokea kipigo. Patcho amesema picha iiliyozagaa mitandaoni aliipost mwenyewe baada ya kupata aleji ya macho ambapo baadaye ilisambaa mitandaoni ikidaiwa kuwa kapigwa baada ya fumanizi. "..
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni