Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatatu, 29 Desemba 2014

PATCHO MWAMBA AKANA KUFUMANIWA!


Mwigizaji na mwanamuziki wa Bendi ya FM Academia, Patcho Mwamba ameibuka na kukanusha vikali taarifa zilizozagaa katika mitandao ya kijamii kuwa amefumaniwa akiwa na mke wa mtu na kupokea kipigo. Patcho amesema picha iiliyozagaa mitandaoni aliipost mwenyewe baada ya kupata aleji ya macho ambapo baadaye ilisambaa mitandaoni ikidaiwa kuwa kapigwa baada ya fumanizi. "..

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni