Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatatu, 29 Desemba 2014

MVUA YASABABISHA MAFURIKO DAR.NA KUSABABISHA WATU WAWILI KUPOTEZA MAISHA

mvua ilionyesha jana kwa muda wa saa mbili imeleta mtafaruku Dar,kupelekea watu wawili kupoteza maisha na mafuriko kukithiri huku Air port nayo maji yaingia ndani.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni