Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 18 Novemba 2014

URUSI IMELALAMIKIA NCHI ZA MAGHARIBI


Dmitry Peskov Msemaji mkuu wa Rais nchini Urusi

Msemaji mkuu wa Rais wa Urusi Dmitry Peskov amezituhumu nchi za magharibi kwa kujaribu kuizunguka nchi hiyo.
Katika mahojiano na BBC Peskov AMESEMA Urusi itapenda kusikia asilimia 100 ya ahadi kuihusiana na mzozo wa Ukraine.amesisitiza kuwa hakuna mtu aliyefikiria kuwa Ukraine ungejiunga na NATO. Amesema hili liliwapa hofu na kuifanya Urusi kuwa na tahadhali kubwa wakati kuhusiana na mgogoro wa Ukraine. Awali waziri wa kigeni wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier alionya kuwa Ulaya wanakabiliwa na upinzani zaidi kuliko kuleta umoja. Steinmeie ametoa maoni yake kufuatia mazungumzo kati yake na Waziri mwenzake wa kigeni Sergei Lavrov wa Ujerumani.
CHANZO BBC.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni