Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatatu, 24 Novemba 2014

WAZIRI WA ULINZI WA MAREKANI KUJIUZULU.


 
Chuck Hagel,waziri wa ulinzi mstaafu wa Marekani
Afisa mwandamizi wa serikali ya Marekani amesema waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo Chuck Hagel anajiuzulu katika baraza la mawaziri la Rais Barack Obama.
Hagel ambaye ni seneta wa zamani wa chama cha Republican alikuwa waziri wa ulinzi wa Marekani tokea mapema mwaka 2013. Obama anatarajiwa kutangaza kujiuzulu kwa waziri huyo leo hii. Afisa wa serikali aliyetowa habari hizo amekataa kutajwa jina lake kwa sababu haruhusiwi kuzungumzia suala hilo hadharani kabla ya Rais Obama kutangaza rasmi.
chanzo dw

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni