Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumamosi, 29 Novemba 2014

ZITTO ASEMA AMEWAMISS SANA UKAWA.


Zitto: Nimekuwa na mgogoro na chama changu lakini kwenye hili wameniunga mkono, kwa mara ya kwanza nimehudhuria kikao cha UKAWA
zittokabwe : Wabunge wa Chama changu wamekuwa na mimi na kwa mara ya kwanza nimeudhuria kikao cha UKAWA, nawashukuru sana
zittokabwe Kwa mara ya kwanza nilihudhuria kikao cha UKAWA hapo jana, niliwamiss sana na ninashukuru kuniunga mkono

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni