Kuna tabia flani hivi ambayo
wanawake wengi nimewasikia wakilalamika na wanaume wengi huwa wanafanya hii
tabia, mwanamke unapokuwa kwenye mzunguko hakikisha unaushika uume na kujisevia
kwa size yako hiyo ndio heshima ya mzunguko sio unakaa tu mwenyewe yule kijana
na hamu zake anakusokomeza tu matokeo yake unaumia halafu huenjoy tena mzunguko
na ukirudi nyumbani unaanza kuugulia maumivu wakati mwenzio kashapunguza shida
zake anatembea kwa afya.
Na kwa wewe mwanaume mruhusu
mwanamke aingize mwenyewe ndani tena mimi napenda kuna wanaume wengine akikuona
upo tayari kuingiliwa anakwambia kabia mamii nikaribishe ndani jamani yani tena
pale ndio unamkaribisha kwa sifa zote taratibu mpaka anafika, sio wanaume
wengine unaingia tu kama unaingia choo cha kupanga puu huna hodi wala nini tena
wakato vyoo vingine vya kupanga tu vinamasharti ukiingia lazima upige hodi mara
tatu wewe unataka tu kumwaga kama shimo la taka.
Kile kitendo jamani ni cha raha sio
karaha...
MC.RAY
WHATSAPP 0659/375263
INSTAGRAM MC.RAYMONDMUSHI
FACE BOOK Raymond Mushi
PAGE Rayshughuli
WHATSAPP 0659/375263
INSTAGRAM MC.RAYMONDMUSHI
FACE BOOK Raymond Mushi
PAGE Rayshughuli
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni