Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumamosi, 29 Novemba 2014

HAYA NDIO MAAZIMIO YA KAMATI YA MARIDHIANO


1- Andrew Chenge, mwambalaswa na William ngereja
waondolewa uenyekiti wa kamati zao
2- prof.Muhongo,AG werema, katibu mkuu maswi, prof.Tibaijuka, waondoke
3-Bodi ya tanesco ivunjwa
4- serikali iwasilishe bungeni mapitio yote ya mikataba ya umeme
5-majaji waliohusika kwenye ufisadi wasimamishwe kupisha uchunguzi
6- stanbic bank na mkombozi au benki nyingine yoyote zitangazwe
kuwa institute of money laundering (taasisi ya kutakatisha fedha haramu)
7-kuitaifisha mitambo ya iPTL kwa Tanesco
8- TAKUKURU na Polisi wamchukuliehatua bwana Sethi, na kumfungulia
mashitaka

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni