Asilimia kubwa sana katika mahusiano kumekuwa na jambo la kutoaminiana.
Tunapoongelea why
Girls cheat? Wewe
unafikiri ni kwanini msichana anafikia kuwa na tabia hiyo? Je ni tamaa?
pesa? na vipi kama nikisema maranyingine mwanaume anaweza kusababisha msichana
kuanza tabia hiyo hata kama hakuwanayo?? Kama vile
kupungua kwa urafiki wa kimapenzi , msichana anaweza kuwa na kila kitu kama nyumba nzuri,
magari na vitu vya thamani,kwa ufupi nje kuko sawa lakini ndani akawa
anapungukiwa kitu kimoja tu na muhimu sana katika mahusiano yake urafiki wa
kimapenzi.
Kama unavyojua sio tu tendo la ndoa linalofanya wanawake kujisikia
wameunganishwa katika mahusiano; kuna kama kushikana sehemu maalum ambazo zitampa
msisimko, mabusu motomoto, na kuwa na mahusiano mazuri kati ya mtu na mpenzi
wake. Women crave it, na akikosa huduma hiyo nyumbani anaweza kuitafuta
inapopatikana.Na hili kuboresha urafiki tenga mda maalumu na mpenzi wako,
na kuwa na tabia ya kumpa nafasi ya kutoa mawazo yake na hakuna kitu kibaya
kama kutojua mpenzi wako anapenda nini na hataki nini; na kama kunahitajika
kufanya maamuzi sehemu Fulani basi si vibaya kama utamshirikisha na kutimiza
mambo yote hayo kunaleta ukaribu zaidi kwa wapendanao.
Kutokuwa
na imani kwa mpenzi wako ,Kukosa kumuamini kunaleta
kuchoka na kukata tamaa, Mke wako ni mzuri yes na inawezekana kila unapopita
unasifiwa lakini inaonekana moyoni mwako kuna wasiwasi uliojengeka unaibiwa,
pamoja na wasiwasi na simu zinazoingia na kutoka, na kuzuia safari za
hapa na pale ukifikiri kwamba atakapotoka ataharibu. Hakuna kitu anachopenda
mwanamke kama kumwamini na kumthamini kuwa yeye ni mtu mzima na anaweza kuwa na
maamuzi ambayo yatajenga na kuimarisha mahusiano yenu. Inawezekana kabisa
hukawa na tatizo la kutomwamini mtu anayeitwa mwanamke lakini kumbuka sio wote
wako hivyo unavyofikiria wewe au ulichowahi kufanyiwa. Trust your woman.
Kupungua
kwa tendo la ndoa ,Kumbuka
awali ulimuona kama lulu na kutotaka kubanduka machoni pake wakati mkiwa
na hamu ya kufanya tendo la ndoa mara kwa mara na michezo ya kitoto. Alafu
punde tu majukumu yalipoanza na watoto pia ambao ni Baraka kwa wazazi. Na kabla
hamjatambua hilo kwenu kulala ikawa ni muhimu sana kuliko tendo la ndoa. Mara
nyingi sana mwanamke anapenda sana kuhisi anatamaniwa. Na kama hutamfanya
ajisikie hivyo basi ni fursa pekee ya kutoka nje. Hivyo basi kuongeza chachu
kwenye mapenzi, mfanyie mitoko ya kimapenzi,mtumie msgs za kusisimua mida ya
lunch na utani hapa na pale,
·
HEARTBREAK. inavunja uaminifu aliokuwanao msichana hapo
awali na kujisikia kujeruhiwa na kulaghaiwa ndipo hapo sasa inapoleta mawazo
mabaya ya kulipiza kisasi au kutolipa umuhimu swala zima la uhaminifu katika
mapenzi na mahusiano.
BUTWHY DO YOU CHEAT??



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni