Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache
Alhamisi, 27 Novemba 2014
MUDA SI MREFU ATAWASILI TANZANIA KUPITIA UWANJA WA NDEGE WA MWL.J.K NYERERE KWA TAARIFA ZAIDI TUTAENDELEA KUKUJUZA.
BASKET MOUTH,,,,Muda si mrefu atawasili katika uwanja wa ndege wa mwal JULIASI K.NYERERE kwa ajili ya show yake kubwa atakayoifanya ndani ya GOLDEN TULIP.Hivyo kama ujakata tiketi yako kakate sasa maana zimebaki chache.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni