Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Alhamisi, 27 Novemba 2014

ASKFU KILAINI AZUNGUMZIA TUHUMA ZA ESCROW

 
ASKOFU KILAINI AKIRI KUPOKEA MILIONI 80.5
Askofu msaidizi wa jimbo la Bukoba Methodius Kilaini amekiri kupokea milioni 80.5 kutoka kwa James Rugemalira na akisema hii si mara yake ya kwanza kupokea fedha toka kwa mfanyabiashara huyo kwakuwa mara nyingi huwa anachangia kwa uwazi miradi ya jamiii. Na amesema michango inayopelekwa kwake haina siri hivyo washikwe wezi halisi sio yeye

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni