![](https://scontent-b-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/s480x480/1908462_1088425947838489_5948166488698439677_n.jpg?oh=379b2092b87db4ef1af93935a4fa03ac&oe=5502DEF7)
Makinda: Watu wenye mapesa yao wanaokuja kuwarubuni humu ndani kataeni mkiendekeza mchezo huu mtajikuta mko ndani wote
Makinda: Hakuta kuwa na huruma wala kinga ya Bunge, mtawekwa ndani na ubunge wenu utakwisha, kuweni makini na hawa matajiri
Makinda: Bunge limeahirishwa hadi Tarehe 27, January 2015.. Wabunge wanatawanyika wakiwa wamoja
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni