Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumapili, 30 Novemba 2014

MAKINDA;HAKUTOKUWA NA HURUMA WALA KINGA YA UBUNGE,MTAWEKWA NDANI NA UBUNGE WENU UTAKWISHA.


Makinda: Watu wenye mapesa yao wanaokuja kuwarubuni humu ndani kataeni mkiendekeza mchezo huu mtajikuta mko ndani wote
Makinda: Hakuta kuwa na huruma wala kinga ya Bunge, mtawekwa ndani na ubunge wenu utakwisha, kuweni makini na hawa matajiri
Makinda: Bunge limeahirishwa hadi Tarehe 27, January 2015.. Wabunge wanatawanyika wakiwa wamoja

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni