Mh. Sospeter Muhongo
YANAYOJIRI BUNGENI (MUHONGO ANAJIBU SASA TUHUMA ZA ESCROW JUU YA YEYE KUWA DALALI MKUU)
Mh. Sospeter Muhongo amesimama sasa kujibu juu ya tuhuma za akaunti ya TegetaEscrow
Muhongo: Natoa shukrani zangu kwa PAC na TRA kwa kufanya uchunguzi ambao umetuleta leo hapa kujadili suala hili la #TegetaEscrow
Muhongo: Natoa shukrani zangu kwa PAC na TRA kwa kufanya uchunguzi
ambao umetuleta leo hapa kujadili suala hili la #TegetaEscrow
Muhongo: 1994 serikali ilitoa kazi kwa IPTL, kampuni hii ilipewa leseni ya kujenga mtambo wenye uwezo wa kutumia megawati 100 #TegetaEscrow
Muhongo : 1995 IPTL na Tanesco walisaini mkataba wa kuuziana umeme kwa muda wa miaka 20. #TegetaEscrow
Muhongo: Taarifa hiyo ya PAC sio kweli kwani Tanesco haijawahi kufungua kesi yoyote kupinga kiwango kikubwa cha gharama. #TegetaEscrow
Hadi sasa bado hajajibu swali la msingi linalomkabili, tutaendelea kukujuza
Muhongo: 1994 serikali ilitoa kazi kwa IPTL, kampuni hii ilipewa leseni ya kujenga mtambo wenye uwezo wa kutumia megawati 100 #TegetaEscrow
Muhongo : 1995 IPTL na Tanesco walisaini mkataba wa kuuziana umeme kwa muda wa miaka 20. #TegetaEscrow
Muhongo: Taarifa hiyo ya PAC sio kweli kwani Tanesco haijawahi kufungua kesi yoyote kupinga kiwango kikubwa cha gharama. #TegetaEscrow
Hadi sasa bado hajajibu swali la msingi linalomkabili, tutaendelea kukujuza
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni