Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatatu, 15 Desemba 2014

RAIS JAKOBO ZUMA AMPONGEZA MISS WORLD KWA KUTWAA TAJI.


Rais Jacob Zuma
Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amempongeza msichana Rolene Strauss wa A-Kusini alieshinda mashindano ya urembo duniani yaliofanyika jana mjini London huku Chuo kiku anakosemea msichana huyo A-Kusini kikimuandalia hafla kubwa ya kumpongeza atakaporejea nyumbani .
Rolene Strauss aliibuka mrembo wa dunia wa mashindano ya Miss World 2014, akiwashinda zaidi ya warembo 120 kutoka kote duniani.
Mshindi huyo wa shindano la Miss World 2014 alivikwa taji la urembo na mshindi wa Miss World 2013, Megan Young kutoka Ufilipino na kushangiliwa na mshindi wa pili na wa tatu, ambao ni Miss Hungary Edina Kulcsár na Miss Marekani Elizabeth Safrit.
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni