Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 16 Desemba 2014

SOMO LA LEO ;KWA WALE WANAUME WANAOCHEUA DK 5.




Mapenzi ni tofauti sana na Football.Najua wanaume wengi tunapenda Football,inatuharibu sana..Maana kwenye Football watu wanahangaika,mikiki mikiki,vikumbo,rafu ilimradi wapate magoli mengi washinde mechi,wafurahi...
 
Mapenzi ni tofauti kabisa,makeke yawepo ila sio kwenye kukimbilia golini kucheka na nyavu...Hayahitaji wewe kukimbia wee,kupiga supu ya Pweza na bamia mbichi ili ukako...moe uwanjani...Mwanamke hahitaji maraundi yako kibaooo utadhani mko kwenye Cricket,anahitaji yeye kufunga,concentrate kumuwezesha..wanawake wakiwezeshwa wanaweza,lakini wengi tumekuwa tunajiwezesha wenyewe.

Tunaharibu!

Kwanza wewe its guaranteed,utafunga tu penati mwisho wa mechi,unakimbilia wapi??Tulia, muwezeshe mama apige danadana,mpe afunge hadi aseme puliza filimbi!kwa vyovyote wewe utafunga la kwako mwishoni tu,sasa kimuhemuhe cha nini kucheua uji wa ulezi kwa dakika 5?

MC.RAY
WHATSAPP 0659/375263
INSTAGRAM MC.RAYMONDMUSHI
FACE BOOK Raymond Mushi
PAGE Rayshughuli



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni