Ule usemi wa duniani watu wawili wawili umedhiiika kwa muigizaji wa
bongo movies,Wema Sepetu.Je hii ni kweli?.Hebu kutana na huyu mwanadada
anaetumiajina la TUERNY kwenye mtandao wa INSTAGRAM.Kizuri zaidi wema
mwenye anamfahamu hii nikutokana na moja kati ya marafiki wa Wema
Ku-comment kwenye picha ya dada huyu akidai kuwa dada huyu anafanana na
Wema na dadae Wema Ku-reply kwa kuonyesha kuwa anamfahamu na anamuita
mke mweza.....Hebuzicheki picha zake hizi na kisha useme kama
kunaumuhimu wa wawili hawa kupimwa DNA
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni