Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatatu, 8 Desemba 2014

HEKAHEKA ZA USIJILI ULAYA

Tottenham wanafanya mipango ya kuwapata kiungo Morgan Schneiderlin,25 pamoja na mshambuliaji Jay Rodriguez, 25,wote toka klabu ya Southampton na beki wa Raul Albiol, 29,wa Napol ya Itali ili kuimarisha kikosi chao.
Leicester City wamekata ofa ya £7.9milioni kuweza kumuuza mshambuliaji wao Andrej Kramaric, the 23 raia wa Croatia anawaniwa na timu za Chelsea na Tottenham.
Kocha wa Sunderland Gus Poyet bado anamuhitaji mshambuliaji Fabio Borini, 23, aliekosa nafasi kwenye kikosi cha kwanza cha Liverpool.
Bosi wa Newcastle Alan Pardew anataka kumsajili kwa mkopo kipa Mark Schwarzer, kutoka chelsea ambae ni chaguo la tatu kwa kocha Jose mourinho.
Harry Redknapp kocha wa QPR ana imani atamsajili kwa mkopo mshambuliaji Robbie Keane, 34, nyota wa zamani wa Tottenham anayechezea timu ya LA Galaxy ya Marekani.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni