Hali mbaya ya usalama nchini Somalia inachochea hali mbaya ya kibinadamu
Umoja wa Mataifa unasema kua zaidi
ya watu milioni tatu wanahitaji msaada wa dhahura kwa sababu ya tatizo
kubwa la utapia mlo na mgogoro.
Tahadhari hio imetolewa miaka mitatu baada ya zaidi ya robo ya watu milioni moja kufariki kutokana na ukosefu wa chakula.Katika taarifa yake ofisi ya mratibu wa misaada ya kibinadamu katika Umoja wa Mataifa inasma kuwa wasomali wanaendelea kukabiliwa na hali ngumu ya kibindamau.
Kikosi cha wanjeshi wa Muungano wa Afrika kiko nchini humo kuoambana na wanamgambo hao.
Wadadisi wanasema hali hiyo imechocewa zaidi na ukame pamoja na mafuriko katika baadhi ya sehemu za nchi hio.
CHANZO BBC
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni