Kisiwa cha Pemba nchini Tanzania kimekuwa maarufu kwa kilimo cha karafuu visiwani Zanzibar kwa miaka mingi tangu enzi za utawala wa Kiarabu visiwani humo.
Hata hivyo zao hilo limekuwa likikumbwa na changamoto mbalimbali zikiwemo za kushuka kwa bei ya karafuu katika soko la dunia na hivyo kuathiri uchumi wa Zanzibar.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni