Watanzania watafanya uchaguzi wa serikali za mitaa Desemba 14
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeanza kazi ya kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura.
Katika
maboresho hayo, tume imeanzisha mfumo wa kuchukua au kupima taarifa za
mwili au tabia ya mtu ujulikanayo kama Biometric Voter Registration, BVR
na kuzihifadhi kwenye data base za tume hiyo.Vyama vya siasa na wadau wengine wa masuala ya uchaguzi wamekuwa wakitaka pawe na mfumo utakaosaidia kuondoa udanganyifu unaosababisha uchaguzi kutokuwa huru na wa haki.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni