Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatatu, 8 Desemba 2014

MAPENZI YA JINSIA MOJA MISRI MARUFUKU.


Maharusi wakiwa na nyuso za furaha
Viongozi wa juu nchini Misri wametoa tamko baada ya uvamizi wakati wa usiku katika nyumba ya ubatizo mjini Cairo na hivyo kusababisha wanaume nane kukabiliwa na mashtaka ya mzaha wa kidini na kutafsiriwa kama ufisadi.
Mahaba ya jinsi moja hayajapigwa marufuku nchini Misri,lakini watu wanaoshukiwa kuwa si 'rizki' huweza kukabiliwa na mashtaka ya mzaha katika dini na ufisadi.
Wanaume hao nane walitiwa korokoroni siku za karibuni kwa kukiuka maadili ya umma na hii ni baada ya video moja kuachiliwa ikionesha ndoa iliyofungwa ya wapenzi wa jinsi moja na kuanikwa katika mitandao ya kijamii.
CHANZO BBC.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni