Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 9 Desemba 2014

'NATAKA KUWA WAZIRI MKUU' ;.MALALA


Malala Yousafzai
 Mshindi wa Nishani ya Nobel bint Malala Yousafzai raia wa Pakistani amesema kuwa siku zijazo anatarajia kuwa mwanasiasa.
Malala amesema ndoto yake hiyo anatarajia kuikamilisha baada ya kumaliza masomo yake na amesema ikiwezekana anapenda kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo.
Binti huyo ambaye amekuwa akiendesha kampeni ya elimu dhidi ya wasichana alipigwa risasi na wapiganaji wa Talban miaka miwili iliyopita.
Mshindi huyo wa Nobel Malala yupo mjini Oslo ,Norway anatarajiwa kupokea Nishani anayoshirikiana na Bindi raia wa India Kailash Satyarthi
CHANZO BBC.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni