Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumanne, 2 Desemba 2014

WAGOMBEA 68,HADEMA ARUMERU MASHARIKI WAPINGWA.

Wagombea 68 wa nafasi mbalimbali za uongozi katika jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamewekewa pingamizi kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya kutotimiza vigezo na masharti ya tume ya uchaguzi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni