Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 5 Novemba 2014

KWA KOSA LA KUTUPA UNGA VICHAKANI MAHAKAMA YAWAUKUMU MIAKA 5 JELA


Kwa kosa la kutupa unga vichakani, Mahakama yawahukumu miaka 5 jela…
Jeshi la Polisi katika jitihada za kupambana na madawa ya kulevya, limewakamata watu wawili waliokuwa katika gari baada ya kutupa dawa za kulevya vichakani zenye thamani Paundi 230,000.
Watuhumiwa hao walikamatwa baada ya kurekodiwa na kamera ya video iliyofungwa kwenye gari ya Polisi ikionyesha jamaa hao wanavyotupa mzigo huo vichakani.
Duch
Jamaa hao Kabbar na Duckworth wamehukumiwa kifungo cha miaka 5 kila mmoja kwa kosa la kukutwa na kifurushi cha Heroin, na kosa la kundesha gari kwa kasi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni