Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 5 Novemba 2014

UTAWALA WA RAIA KUREJEA BURKINA FASO


                                           kiongozi wa burkina faso isaac Zida
Rais wa Ghana,Nigeria na Senegal wanatarajiwa kuwasili nchini Burkina Faso hii leo kwa ajili ya kutoa msukumo kwa Jeshi la nchi hiyo lirudishe utawala wa kiraia.
Kiongozi wa mpito Luteni Kanali Isaac Zida amesema jeshi litaachia madaraka ndani ya majuma mawili,muda uliopangwa na Umoja wa Afrika.
Zida ameahidi kuanzisha serikali ya Umoja ili kuepuka vikwazo ambavyo vinaweza kutolewa dhidi yao.
Jeshi lilichukua madaraka baada ya kutokea machafuko na maandamano yaliyoshinikiza kujiuzulu kwa Rais Blaise Compaore.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni