![YANAYOJIRI BUNGENI SASA: MJADALA JUU YA LIPUMBA KUPIGWA!! - LIPUMBA NI SAWA NA KIKWETE KWANINI APIGWE?
Spika Makinda: Hoja hii tunaijadili kwa dakika 3, namuita mchangiaji wa kwanza
Tundu Lissu: Kanuni zinasema tutumie dakika 15, haiwezekani waziri atumie dakika 30, na AG atumie 15 halafu sisi 3. Natumia 15
Spika Makinda: Haya basi tumieni dakika 10 na siyo 15, lakini tuzingatie tahadhari iliyotolewa na Mwanasheria Mkuu
Tundu Lissu: Huyu waziri wa mapolisi amesema uongo na hastahili kuwa katika nafasi kuanzia sasa
Tundu Lissu: Sasa tumejua kuwa ile kauli ya WAPIGWE TU ni kauli ya serikali na kauli ya CCM, jeshi la polisi ni la ma 'FACIST'
Tundu Lissu: Bunge lichukue hatua dhidi ya Polisi, waziri Mkuu, Waziri Chikawe, IGP naibu IGP. Tumechoka lazima wawajibike
Tundu Lissu: Tunahitaji tuunde tume teule kuchunguza matukio ya mapolisi kupigwa watu, tumechoka kupigwa
Tundu Lissu: Tukiendelea hivi na tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu Oktoba, kumbukeni nyie ni wanachama wa mahakama ya Kimataifa ICC
Rashid Abdallah: Mauaji yanafanyika katika nchi hii, watu wanakufa, halafu jeshi la polisi lipo tu linaangalia
Rashid Abdallah: Waziri Mkuu bado anashabikia watu kuendelea kupigwa, Waziri hafai kuongoza wizara hii
Rashid Abdallah: Prof Lipumba ni sawa na Kikwete, wote ni wenyeviti wa vyama halali, haiwezekani afanyiwe vitendo kama vile
Mbowe: Nasikitika sana kwa taarifa aliyoitoa Chikawe, tupo kama serikali ilivyo kudharau na kuchukua taarifa ya upande mmoja
Mbowe: tarehe 27, nilipokuwa na Prof Lipumba, askari polisi waliniambia kuwa taarifa hii ya kupiga walipewa kutoka juu. Sitawataja
Mbowe: Mimi mwenyewe ni muhanga, nilishambuliwa na bomu, nikashambuliwa kwa Machine Gun na nikashambuliwa kwa bastola siku moja
Mbowe: Mnafurahi kwa kuwa hampigwi nyinyi, Rose Kamili alipigwa Iringa na watu wa CCM na Polisi mkafurahi, na sasa amekuwa kilema
Mbowe: Rose Kamili ameigharimu serikali zaidi ya milion 102 kwa matibabu nchini India, hamuoni hasara kwa taifa masikini kama hili](https://scontent-a-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/q81/s480x480/10958098_1138817952799288_4834816573660731732_n.jpg?oh=fa07b918e9f6cea350c0d0fdb62f41ab&oe=556CF511)
Spika Makinda: Hoja hii tunaijadili kwa dakika 3, namuita mchangiaji wa kwanza
Tundu Lissu: Kanuni zinasema tutumie dakika 15, haiwezekani waziri atumie dakika 30, na AG atumie 15 halafu sisi 3. Natumia 15
Spika Makinda: Haya basi tumieni dakika 10 na siyo 15, lakini tuzingatie tahadhari iliyotolewa na Mwanasheria Mkuu
Tundu Lissu: Huyu waziri wa mapolisi amesema uongo na hastahili kuwa katika nafasi kuanzia sasa
Tundu Lissu: Sasa tumejua kuwa ile kauli ya WAPIGWE TU ni kauli ya serikali na kauli ya CCM, jeshi la polisi ni la ma 'FACIST'
Tundu Lissu: Bunge lichukue hatua dhidi ya Polisi, waziri Mkuu, Waziri Chikawe, IGP naibu IGP. Tumechoka lazima wawajibike
Tundu Lissu: Tunahitaji tuunde tume teule kuchunguza matukio ya mapolisi kupigwa watu, tumechoka kupigwa
Tundu Lissu: Tukiendelea hivi na tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu Oktoba, kumbukeni nyie ni wanachama wa mahakama ya Kimataifa ICC
Rashid Abdallah: Mauaji yanafanyika katika nchi hii, watu wanakufa, halafu jeshi la polisi lipo tu linaangalia
Rashid Abdallah: Waziri Mkuu bado anashabikia watu kuendelea kupigwa, Waziri hafai kuongoza wizara hii
Rashid Abdallah: Prof Lipumba ni sawa na Kikwete, wote ni wenyeviti wa vyama halali, haiwezekani afanyiwe vitendo kama vile
Mbowe: Nasikitika sana kwa taarifa aliyoitoa Chikawe, tupo kama serikali ilivyo kudharau na kuchukua taarifa ya upande mmoja
Mbowe: tarehe 27, nilipokuwa na Prof Lipumba, askari polisi waliniambia kuwa taarifa hii ya kupiga walipewa kutoka juu. Sitawataja
Mbowe: Mimi mwenyewe ni muhanga, nilishambuliwa na bomu, nikashambuliwa kwa Machine Gun na nikashambuliwa kwa bastola siku moja
Mbowe: Mnafurahi kwa kuwa hampigwi nyinyi, Rose Kamili alipigwa Iringa na watu wa CCM na Polisi mkafurahi, na sasa amekuwa kilema
Mbowe: Rose Kamili ameigharimu serikali zaidi ya milion 102 kwa matibabu nchini India, hamuoni hasara kwa taifa masikini kama hili
Tundu Lissu: Huyu waziri wa mapolisi amesema uongo na hastahili kuwa katika nafasi kuanzia sasa
Tundu Lissu: Sasa tumejua kuwa ile kauli ya WAPIGWE TU ni kauli ya serikali na kauli ya CCM, jeshi la polisi ni la ma 'FACIST'
Tundu Lissu: Bunge lichukue hatua dhidi ya Polisi, waziri Mkuu, Waziri Chikawe, IGP naibu IGP. Tumechoka lazima wawajibike
Tundu Lissu: Tunahitaji tuunde tume teule kuchunguza matukio ya mapolisi kupigwa watu, tumechoka kupigwa
Tundu Lissu: Tukiendelea hivi na tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu Oktoba, kumbukeni nyie ni wanachama wa mahakama ya Kimataifa ICC
Rashid Abdallah: Mauaji yanafanyika katika nchi hii, watu wanakufa, halafu jeshi la polisi lipo tu linaangalia
Rashid Abdallah: Waziri Mkuu bado anashabikia watu kuendelea kupigwa, Waziri hafai kuongoza wizara hii
Rashid Abdallah: Prof Lipumba ni sawa na Kikwete, wote ni wenyeviti wa vyama halali, haiwezekani afanyiwe vitendo kama vile
Mbowe: Nasikitika sana kwa taarifa aliyoitoa Chikawe, tupo kama serikali ilivyo kudharau na kuchukua taarifa ya upande mmoja
Mbowe: tarehe 27, nilipokuwa na Prof Lipumba, askari polisi waliniambia kuwa taarifa hii ya kupiga walipewa kutoka juu. Sitawataja
Mbowe: Mimi mwenyewe ni muhanga, nilishambuliwa na bomu, nikashambuliwa kwa Machine Gun na nikashambuliwa kwa bastola siku moja
Mbowe: Mnafurahi kwa kuwa hampigwi nyinyi, Rose Kamili alipigwa Iringa na watu wa CCM na Polisi mkafurahi, na sasa amekuwa kilema
Mbowe: Rose Kamili ameigharimu serikali zaidi ya milion 102 kwa matibabu nchini India, hamuoni hasara kwa taifa masikini kama hili
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni